HOSPITALI YA AGHAKHAN YAKAMILISHA MRADI WAKE
Hospital ya Agha khan kwa ushirikiano na ubalozi wa wa ufaransa nchini Kenya pamoja na serikali ya county ya Mombasa leo hii wameendeleza ufunguzi wa ultra model building ambayo imeendelezwa kutoka kuwa vitanda 86-115 na shirika la Agha khan network ambayo inachukuwa hatua hizi ili kuhakikisha maisha yameboreshwa kutokana na kuboresha sekta ya afya Agha Khan Health Service Kenya imefanya sherehe ya kukamilisha mradi wa ukarabati wa Hospitali ya Aghakhan Mombasa, hatua muhimu katika ahadi yake ya kuendelea kutoa huduma bora za afya kwa idadi ya watu 1.4 milioni katika kaunti ya mombasa na maeneo zaidi kupitia mfano wake wa kituo cha msingi na matawi ya vituo vya kutolea huduma. Hospitali iliyokarabatiwa hivi sasa imebadilishwa kutoka kituo cha vitanda 86 hadi kuwa taasisi ya afya ya sekondari yenye vitanda 115 vyenye huduma za kiafya zilizounganishwa kikamilifu kwa jamii inayohudumiwa. "Ningependa kupongeza kazi ambayo imefanywa na Aghakhan na kaunti ya Mombasa kw...