WANAHARAKATI WA ANTI LGBTQ WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA MVITA CLINIQ
Wanaharakati wa Anti LGBTQ wameweza kuendeleza maandamano yao katika hospitali ndogo ya mvita clinic hapo jana kupinga kutolewa kwa huduma za kina mama wajawazito na kuendeleza huduma za kuwatibu watu wenye jinsia moja katika hospitali hiyo.
Akizungumza na wanahabari mwenyekiti wa vuguvugu hilo Salim Karama amesema kuwa Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswammad shariff Nasir aliwaahidi kurudisha shughuli za kliniki hiyo alipowaita kwenye kikao ofisini kwake.
Aidha Ameongezea kwa kusema kuwa wataendeleza maandamano yao hadi pale agizo la gavana la kurudisha maternity ya kina mama litatekelezwa.
Akizungumza na wanahabari mwenyekiti wa vuguvugu hilo Salim Karama amesema kuwa Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswammad shariff Nasir aliwaahidi kurudisha shughuli za kliniki hiyo alipowaita kwenye kikao ofisini kwake.
Aidha Ameongezea kwa kusema kuwa wataendeleza maandamano yao hadi pale agizo la gavana la kurudisha maternity ya kina mama litatekelezwa.
Comments
Post a Comment